Yahitaji 'kijiji' kusaidia walio kwenye majanga - Guterres
Hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya utoaji wa misaada ya kibinadamu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amepazia sauti watoa huduma za kibinadamu ambao hufanya kazi kutwa kucha a hasa kwa wale wanaopitia majanga wanaojikuta wao wenyewe wakibeba jukumu la kutoa msaada ili dunia iwe pahala bor
Katika ujumbe wake aliotoa kwa njia ya video hii leo, Katibu Mkuu ametumia methali isemayo yahitaji Kijiji kukuza mtoto, akiongeza kuwa yahitaji pia Kijiji kusaidia watu wanaokumbwa na majanga ya kibinadamu.