Kila sekunde 40, kuna mtu anajiua-WHO
Mtu mmoja hufariki dunia katika kila sekunde 40 kwa kujiua, limesema shirika la afya duniani hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya afya ya akili.
Mtu mmoja hufariki dunia katika kila sekunde 40 kwa kujiua, limesema shirika la afya duniani hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya afya ya akili.