Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

SHOFCO

18 JULAI 2025

Jaridani leo naangazia hafla ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela katika makao makuu ya Umoja wa mataifa na ujumbe wa washindi wa Tozo ya Mandela. Makala tunakwenda nchini Angola na mashinani nchini Kenya, kulikoni?

Sauti
9'57"
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya wasichana ya Shofco, Kibera nchini Kenya wakizungumza na mwalimu wao.
UN News/Thelma Mwadzaya

Elimu ya mtoto wa kike ni moja ya nguzo muhimu katika jamii

Elimu ya mtoto wa kike ni moja ya nguzo muhimu katika jamii ukizingatia malengo endelevu ya maendeleo ya Umoja wa Mataifa.Wakati ulimwengu unaadhimisha miaka 30 tangu Azimio la Beijing na Jukwaa la Hatua za Utekelezaji kuwekwa bayana, serikali zimetangaza nia ya kisiasa ya kuheshimu, kudumisha haki, usawa na wanawake na wasichana kuwezeshwa.