Ghassan Salama: Watu milioni 6.5 Libya wanaohistahili amani
Mamilioni ya watu nchini Libya wameteseka vya kutosha na sasa wanastahili amani kwa mujibu wa ripoti iliyowasilishwa leo kwenye Baraza la Usala na mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Libya.