Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na kupunguza athari za majanga, UNISDR, Mami Mizutori amewaeleza wanafunzi wanaokutana katika kongamano la kukuza uelewa kuhusu Tsunami kuwa kupunguza hatari za majanga ni eneo muhimu ambalo linahusu kila taaluma.