SheTrades yaendelea kupanua wigo wake, yabisha hodi Zambia
Kituo cha kimataifa cha biashara, ITC leo kimezindua tawi lake nchini Zambia na hivyo kutoa fursa ya kuunganisha wanawake wajasiriamali nchini humo na wenzao duniani kote.
Kituo cha kimataifa cha biashara, ITC leo kimezindua tawi lake nchini Zambia na hivyo kutoa fursa ya kuunganisha wanawake wajasiriamali nchini humo na wenzao duniani kote.
Kituo cha biashara cha kimataifa kilicho chini ya kamati ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD kiliandaa mikutano kadhaa kando mwa mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, #UNGA72 uliofikia tamati siku ya Jumatatu.