Watu saba wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Jerusalem:UN
Shambulio la kigaidi lililotelkezwa na mshambuliaji wa Kipalestna nje ya synagogue mjini Jerusalem hii leo limekatili maisha ya watu sab ana kujeruhi wengine kadhaa ,na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio hilo.