22 AGOSTI 2022
Katika Jarida la habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea
-Takribani watoto 1000 wameuawa au kujeruhiwa katika vita inayoendelea Ukraine UNICEF yatoa wito wa kusitisha uhasama na kuwalinda watoto hao
-Nchini Sudan Kusini katika eneo la Tamboura mafunzo yanayotolewa na mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS na shirika la ANIKA waleta nuru kwa wakazi