Skip to main content

Chuja:

Serengeti

22 AGOSTI 2022

Katika Jarida la habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea

-Takribani watoto 1000 wameuawa au kujeruhiwa katika vita inayoendelea Ukraine UNICEF yatoa wito wa kusitisha uhasama na kuwalinda watoto hao

-Nchini Sudan Kusini katika eneo la Tamboura mafunzo yanayotolewa na mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS na shirika la ANIKA waleta nuru kwa wakazi

Sauti
12'23"