Skip to main content

Chuja:

Seoul

Mji Mkuu wa Jamhuri ya Kofrea , Seoul
Unsplash/Chinh Le Duc

UN yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa kupambana na mabadiliko ya tabianchi na kufikia SDGs

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akiongea leo katika mkutano muhimu wa ushirikiano wa kimataifa, amesema ikiwa serikali zitaafikiana kwa pamoja malengo ya kumaliza makaa ya mawe, kuongeza ahadi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuwekeza katika malengo ya dunia, kuna fursa ya kuishinda "changamoto kubwa ya maisha yetu".

UN yazipongeza Korea Kaskazini na Kusini

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amekaribisha hatua ya Korea Kaskazini na Korea Kusini kufungua tena mawasiliano ya niia ya simu kati yao.

Hatua ya nchi hizo mbili kufungua mawasiliano ya moja kwa moja kati ya marais wao ilitangazwa Jumatano ambapo Katibu Mkuu kupitia naibu msemaji wake Farhan Haq amesema..

(Sauti ya Farhan Haq)