Wadau lazima watimize wajibu wao kurejesha amani DRC: Lacroix
Ili amani ya kweli na ya kudumu iweze kurejea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ni lazima wadau wote wa kisiasa ikiwemo serikali, chama tawala, wapinzani, asasi za kiraia na tume ya uchaguzi watimize wajibu wao katika kuhakikisha maandalizi ya uchaguzi mkuu yanaendelea kwa wakati kama ilivyopangwa.
Wito huo umetolewa na mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix alipotoa taarifa hii leo kwenye baraza la usalama kuhusu hali nchini DRC na kusisitiza kuwa
(JEAN-PIERRE LACROIX-CUT 1)