Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa kuhudumu wa ujumbe wa kisiasa nchini Burundi likisisitiza kuwa nchi hiyo ni lazima ipige hatua katika kulinda haki za binadamu, kupigana na ufisadi, kufanyia mabadiliko sekta yake ya ulinzi na kuinua maendeleo ya uchumi.