Baraza la Usalama lilkutana Ijumatano kuzingatia suala la hifadhi ya raia dhidi ya vitendo vyote vya kutumia mabavu na unyanyasji wa kijinsia, kwenye mazingira ya mapigano, hususan kwa raia wanawake na watoto wadogo.
Baraza la Usalama leo asubuhi lilikutana kwenye kikao maalumu kuzingatia uzuiaji wa uenezaji wa silaha za kinyuklia na upunguzaji wa silaha za maangamizi ya halaiki.