Baraza la Usalama limepitisha, kwa kauli moja, azimio la kuanzisha ofisi maalumu mpya nchini Burundi (Bureau Integre des Nations Unies au Burundi, BINUB)itakayopewa dhamana ya kusaidia kujenga utulivu wa kudumu nchini baada ya Shirika la UM juu ya Ulinzi wa Amani (ONUB) kukamilisha operesheni zake mwisho wa mwaka (31 Disemba 2006).