Ukosefu wa usawa ukizidi kuota mizizi, UN yahaha kuhakikisha kunakuwepo na usawa
Ajenda ya 2030 ya maendeleo endelevu au SDGs- ni mwongozo wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mustakabali mzuri na endelevu kwa wote- na unatoa wito kwa kuziba pengo la utofauti kati ya nchi na ndani ya nchi. Hatahivyo, ukosefu wa usawa kimataifa unaongezeka. Kwa hiyo ni ni kifanyike?