Skip to main content

Chuja:

Rupert Colville 

10 JANUARI 2020

Flora Nducha wa UN News Kiswahili anatupa habari zifuatazo:

-Ripoti ya Umoja wa Mataifa yaonya yaliyojiri baina ya Walendu na Wahema DRC huenda ukawa uhalifu dhidi ya ubinadamu 

-Kwa mujibu wa UNCTAD uwekezaji kutoka pato la taifa ni hatua ya kwanza katika kufanikisha SDGs Afrika

-Mahitaji ya upinzani Lirangu Sudan Kusini yamenza kutimizwa kwa mujibu wa UNMISS

-Kamati ya kimataifa ya Olimpiki IOC hii leo imelitunukia tuzo ya juu ya kikombe cha  Olimpiki shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi UNHCR 

Sauti
10'37"