Kilimo cha maharage ni matumaini ya wakulima Uganda
Mataifa mengi ya kiafrika yanakabiliwa na tatizo la uhaba wa chakula moja ya sababu kubwa ikiwa ni athari ya mabadiliko ya tabia nchi.
Sasa wataalamu na watafiti wa nchini hizo wameanza kuchukua hatua ikiwemo ukulima wa mazo yanayohimili mabadiliko hayo kama maharagge.