Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

rasilimali

ITU

Teknolojia ni moja ya muarobaini wa kufanikisha SDGs Tanzania

Tukifanikiwa katika rasilimali na teknolojia Tanzania tutapiga hatua kubwa sana katika utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030,

Kauli hiyo imetolewa na waziri wa fedha na mipango wa nchini hiyo Dkt. Philip Mpango alipozungumza na UN News idhaa ya kiswahili kandoni mwa jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa HLPF linalotathimini utekelezaji wa malengo hayo kwa nchi wanachama 50 waliojitolea kufanyiwa tathimini ikiwemo Tanzania.

Sauti
3'1"