Skip to main content

Chuja:

raia

Wakimbizi wa Syria wakiwa mbioni kutafuta makazi
UNICEF/UN0277723/Souleiman

Mauaji ya raia na wimbi la watu kutawanywa lazima vikome Syria:UN

Mashambulizi ya angani na ardhini ya jimbo la Idlib Kaskazini Magharibi mwa Syria yanasababisha wimbi kubwa la watu kutawanywa na Maisha ya raia kupotea na haya ni madhila ambayo hayastahili na yanapswa kukomeshwa sasa amesema Geir Pedersen mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Syria akitoa taarifa kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo.