Tukijitahidi tutatokomeza PPR ifikapo 2030:FAO/OIE
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO na shirikika la kimataifa la afya ya mifugo OIE, leo wamesema utokomezaji wa ugonywa wa kuambukiza unaoathiri wanyama wadogo hasa mbuzi na kondoo maarufu kama PPR unaweza kutokomezwa ifikapo 2030.