Watoto wafunga safari hatari kusaka maisha bora Amerika
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema idadi ya watoto waliovuka pori la Darien linalotenganisha Colombia na Amerika ya Kati mwaka 2019 imeongezeka zaidi ya mara saba ikilinganishwa na mwaka 2018.