Skip to main content

Chuja:

Phumzile Mlambo-Ngucka

Mtu anarambaza kupitia mitandao ya kijamii.Bi Phumzile avitaka vyombo vya habari kutangaza habari kuhusu wanawake.
World Bank/Simone D. McCourtie

Vyombo vya habari tangazeni habari zinazoinua wanawake-Phumzile

Umoja wa Mataifa umetaka vyombo vya  habari nchini Tanzania kupazia sauti habari ambazo zinamnyanyua mwanamke kama  njia mojawapo ya kujenga  uwezo wa watoto wa Kike na wanawake wengine.

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake, UN-WOmen, Phumzile Mlambo-Ngucka amesema hiyo jijini Dar es salaam, kando mwa mkutano kuhusu jinsia na masuala ya habari.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres
Picha ya UN /Rick Bajornas

Madaraka na usawa vimfikie mwanamke- Guterres

Mkutano wa 62 wa Kamisheni ya hali ya wanawake duniani, CSW umeanza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.

Maudhui ya mkutano huo wa wiki mbili ni changamoto na fursa katika kufikia usawa wa jinsia na kuwezesha wanawake na wasichana waishio vijijini.