09 JANUARI 2023
Ni Jumatatu ya tarehe 09 ya mwezi Januari mwaka 2023 na katika jarida la habari za umoja wa mataifa tunaangazia changamoto la mafuriko nchini Pakistan na kazi za walinda amani nchini DR Congo. Makala tutakupeleka nchini Burundi na mashinani nchini Brazil.