Skip to main content

Chuja:

Oscar Ikinya

Oscar Ikinya

Miaka 23 baada ya tukio la ugaidi Kenya bado athari zipo-Oscar Ikinya

Wakati dunia imeadhimisha siku ya kimataifa ya kumbukumbu na kuwaenzi waathirika wa ugaidi Agosti 21 Umoja wa Mataifa unasisitiza umuhimu wa kuendelea kushikamana na waathirika kwani Maisha yao yanabadilika kwa kiasi kikubwa kufuatia matukio waliyoyapitia, Hali ni kama hiyo kwa mgeni wetu wa leo manusura wa shambulio la kigaidi la Kenya la mwaka 1998. Amezungumza na Grace Kaneiya akiwa Nairobi Kenya kwa njia ya mtandao. Katika mazungumzo safari imeanzia miaka 23 iliyopita wakati wa tukio hadi sasa. Karibu.

Sauti
28'51"

23 Agosti 2021

Tuliyokuandalia hii leo kutoka Umoja wa Mataifa:

Tuna habari muhimu za siku na katika mada yetu kwa kina tutaelekea nchini Kenya kukutana na manusura wa shambulio la bomu la Kenya la mwaka 1998.

Na Katika mashinani, leo tutaelekea nchini Tanzania kusikia kuhusu midahalo inayoandaliwa na asasi ya vijana wa Umoja wa Mataifa.
 

Sauti
12'17"