UNAMID inaendelea na operesheni zake Darfur, wakati Sudan ikishuhudia mabadiliko ya kisiasa-Mamabolo
Mabadiliko ya kisiasa ya mamlaka nchini Sudan yana athari za wazi kuhusu hali jimboni Darfur, amesema Mwakilishi maalum wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika, jimboni humo, UNAMID.