Mkutano kuhusu bahari kuanza Jumatatu Juni 9 mjini Nice, Ufaransa
Tarehe 9 Juni, wajumbe kutoka kote duniani watakutana katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC3), mjini Nice, Ufaransa, ili kuharakisha hatua na kuhamasisha wadau wote kulinda na kutumia bahari kwa njia endelevu.