Mwaka 2021 watajwa miongoni mwa miaka 7 yenye joto zaidi katika rekodi:WMO
Shirika la hali ya hewa duniani WMO limetoa ripoti ya hali ya hewa ya mwaka 2021 na kueleza kuwa mwaka huo bado ulikuwa moja kati ya miaka saba yenye joto zaidi katika rekodi.