UNOC3: Hatuwezi kuacha uroho uamue hatma ya dunia yetu asema mkuu wa UN
Bahari iko hatarini na uroho ndio chanzo amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo akizungumza na waandishi wa habari huko Nice Ufaransa.
Bahari iko hatarini na uroho ndio chanzo amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo akizungumza na waandishi wa habari huko Nice Ufaransa.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito mzito wa kuchukua hatua katika mkutano wa kilele wa “Afrika kwa Ajili ya Bahari”, kandoni mwa mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa wa Bahari UNOC3 mjini Nice Ufaransa akisisitiza kuwa hatim ya Afrika haiwezi kutenganishwa na afya ya bahari zinazolizunguka bara hilo.
Hii leo jaridani tunaangazia Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufaransa, na masuala ya baharini ikiwa ni pamoja na uvuvi nchini Sao Tome, umuhimu wa kutunza mazingira nchini Kenya na uondoaji wa taka za plastiki Tanzania.
Tarehe 9 Juni, wajumbe kutoka kote duniani watakutana katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC3), mjini Nice, Ufaransa, ili kuharakisha hatua na kuhamasisha wadau wote kulinda na kutumia bahari kwa njia endelevu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Msataifa leo amelaani vikali shambulio la kisu lililofanyika ndani ya kanisa kwenye mji wa Kusini wa Nice nchini Ufaransa ambalo limesababisha vifo vya waumini watatu.