Nitarejea Kakuma na Dadaab kuwasaidia wakimbizi wenzangu - Nhial Deng
Mkutano wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa kuhusu marekebisho ya mfumo wa elimu ukiwa umehitimishwa kwa mwaka huu wa 2022, mmoja wa vijana waliohudhuria ni Nhial Deng ambaye anauishi msemo wa wahenga wa usitupe mbachao kwa msala upitao.