Skip to main content

Chuja:

NGOs

Muuguzi akiwa amesimama katika wodi ya watoto wachanga katika hospitali moja mjini Gardez, Afghanistan
© UNICEF/Mihalis Gripiotis

Ushiriki wa wanawake katika utoaji na ufikishaji wa misaada Afghanistan lazima uendelee: UN na wadau

Uamuzi wa mamlaka ya Afghanistan wa kuwapiga marufuku wanawake kufanya kazi katika mashirika ya kibinadamu yasiyo ya kiserikali NGO’s umeendelea kulaaniwa na wadau mbalimbali kutoka jumuiya ya kimataifa yakiwemo mashirika ya Umoja wa Mataifa wakisema ni pigo kubwa kwa jamii zilizo hatarini, kwa wanawake, kwa watoto, na kwa nchi nzima kulingana. 

Dola bilioni 1.7 zahitajika kusaidia wananchi wa Sudan Kusini

Mzozo nchini Sudan Kusini ukiingia mwaka wa nne, zaidi ya dola bilioni 1.7 zahitajika ili kukidhi mahitaji ya kibinadamu kwa nchini humo kwa mwaka 2018.

Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu nchini humo Alain Noudéhou ametangaza kiwango hicho hii leo kwenye mji mkuu, Juba akisema mpango huo unalenga watu milioni 6 walioathiriwa zaidi na mzozo, kupoteza makazi, njaa na kudorora kwa uchumi.