WHO yaimarisha huduma ya afya huku mgogoro ukishika kasi Hodeidah
Hali ya usalama na kibinadamu ikiendelea kuzorota nchini Yemen, hususan mji wa bandari wa Hodeidah, WHO imechukua hatua ili kuhakikisha huduma za afya zinaimarika.
Hali ya usalama na kibinadamu ikiendelea kuzorota nchini Yemen, hususan mji wa bandari wa Hodeidah, WHO imechukua hatua ili kuhakikisha huduma za afya zinaimarika.