Vita hii ifike mwisho, wakulima tumeumia sana – Mkulima Ukraine
Mwishoni mwa mwezi huu wa Februari tarehe 24, utatimia mwaka mmoja tangu uvamizi wa sasa wa Urusi kwa Ukraine. Nchini Ukraine, moja ya sekta zilizoathiriwa sana na vita hii ni kilimo Anold Kayanda anamwangazia mkulima mmoja katika mkoa wa Odesa kusini magharibi mwa nchi.