Meli ya kwanza ya Shehena kutoka Ukraine yakamisha ukaguzi nchini Uturuki na kuanza safari kuelekea Lebanon
Meli ya kwanza ya Ukraine iliyobeba shehena ya tani 26,000 za mahindi kwenda kuuzwa nchini Lebanon imekamilisha ukaguzi wake nchini Uturuki na kuruhusiwa kuendelea na safari yake hii leo.
(Taarifa ya Leah Mushi)