Maskini wataongezeka kufikia zaidi ya watu bilioni moja. Nchi maskini kuathirika zaidi-UN
Ripoti mbili kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa zilizotolewa hii leo, kwa namna tofauti zimeonesha namna athari za ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona, zikavyosababisha kuporomoka kwa nguvu ya uchumi ya watu wengi na hivyo kuwaingiza katika umaskini uliokithiri.