Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

mtoto

Mama akimnyonyesha mwanae mchanga katika kituo cha afya ya mama na mtoto huko wilaya ya Bumbu, mjini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
UNICEF/UN0156352/Dubourthoumieu

Okoa mwanao kwa kumnyonyesha miaka 2 mfululizo- WHO

Mtoto anaponyonyeshwa miaka miwili mfululizo bila kupatiwa kimiminika chochote ataepusha gharama kubwa zinazotumika kutibu magonjwa kama vile kuhara, magonjwa ambayo husabaisha na matumizi ya maji yasiyo safi na salama katika kumwandalia maziwa mbadadala badala ya yale ya mama.

 

Sauti
1'43"