Somalia taifa lililoghubikwa na miongo zaidi ya mitatu ya vita vinavyoendelea sasa mafuriko, nzige na janga la corona au COVID-19 vinatishia kurudisha nyuma hatua kubwa zilizopigwa za kisiasa na kiusalama, limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misada ya dharura OCHA.