Sajili
Kabrasha la Sauti
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, QU Dongyu amekaribisha msaada wa Euro milioni 17 kutoka kwa serikali ya Ujerumani ili kutoa msaada wa moja kwa moja kwa waathirika wa janga la nzige Afrika Mashariki.