Chuja:

Msaada wa binadamu

15 FEBRUARI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia kazi za Umoja wa Mataifa kwa waathirika wa tetemeko la ardhi, na pia kazi za umoja huo nchini Ukraine. Makala tunakupeleka nchini Burundi na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?

Sauti
12'11"

10 FEBRUARI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia wanawake na wasichana katika sayansi, na msaada wa binadamu mashariki ya kati kwa waathirika wa tetemeko la ardhi. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani nchini Misri, kulikoni?          

Sauti
12'54"

08 FEBRUARI 2023

Hii leo jaridani tunakwenda mashariki ya kati na nchini Ukraine. Makala tutaelekea nchini Tanzania na mashinani tutasikia ujembe wa mchehemuzi wa vijana wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF na pia mwanasayansi.

Sauti
10'46"

12 JANUARI 2023

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ambapo leo tunakwenda nchini Kenya kumulika harakati za elimu ikiwa ni kuelekea siku ya elimu duniani. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo kutoka IAEA, msaada wa kibinadamu nchini DRC na matokeo ya mkutano wa Baraza la Usalama wa Umoja wa Mataifa. Mashinani tunakwenda nchini Uganda. Katika kujifunza kiswahili tunapata ufafanuzi wa msemo "FUNGA FUNGANYA

Sauti
12'2"

13 DESEMBA 2022

Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina tukimulika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mkataba wa kimataifa wa bayoanuai CBD unaoendelea mjini Montreal Canada. Pia tunakuletea habari kwa ufupi kutoka huko huko Montreal Canada, nchini Somalia na nchini Haiti. Mashinani tunakuletea ujumbe wa mwanauchumi mashuhuri duniani Sir Partha Dasgupta, anasemaje?

Sauti
11'18"
Charlotte Fatuma, mkimbizi kutoka DRC anaendesha duka kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani ya Coranne nchini Msumbiji kutokana na umeme ambao umefanikishwa na mradi unaotekelezwa na UNHCR, Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
UNHCR Video

Utu na maendeleo vyakutanishwa Coranne na kuleta ustawi kwa wakimbizi na wenyeji

Charlotte Fatuma na Neema Cenga ni wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na sasa wanaishi ukimbizini nchini Msumbiji katika jimbo la Nampula. Kwa sasa Charlotte ni mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa, akiendesha biashara ya duka kwenye makazi ya wakimbizi ya Coranne huku Neema naye akijitahidi kulea na kusomesha watoto wake.  

Sauti
4'28"

02 NOVEMBA 2022

Hii leo katika Habari za UN Assumpta Massoi anamulika masuala yafuatayo:

1. Ukame uliolighubika eneo la Pembe ya Afrika kwa miongo minne mfululizo umesababisha changamoto kubwa kwa mamilioni ya raia wa hilo ikiwemo Kenya, Ethiopia na zaidi Somalia ambako  maeneo mengi yanakabiliwa na kutokuwa na uhakika wa chakula na hatihati ya kutumbukia kwenye baa la njaa. Mashirika ya misaada ya kibinadamu likiwepo la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP yako msitari wa mbele kuwasaidia watu wenye uhitaji hususani wa chakula.

Sauti
12'23"