Sajili
Kabrasha la Sauti
Wakati idadi ya wagonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imevuka 2000, mgonjwa wa Ebola amebainika kwenye nchi jirani ya Uganda, limesema shirika la afya ulimwenguni, WHO hii leo. Grace Kaneiya na ripoti kamili.