17 JULAI 2023
Hii leo katika jarida la Habar iza UN, mwenyeji wako Leah Mushi anamulika haki za binadamu za watu wa jamii ya asili, haki ya elimu kwa watoto wakimbizi, saratani ya shingo ya kizazi na hatimaye jinsi kampeni ya boma kwa boma inasongesha utoaji chanjo kwa jamii ya wamasai nchini Tanzania.