Machafuko ya karibuni Moghadishu yananitia hofu:Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema anatiwa wasiwasi mkubwa na machafuko yaliyozuka karibuni mjini Moghadishu Somalia.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema anatiwa wasiwasi mkubwa na machafuko yaliyozuka karibuni mjini Moghadishu Somalia.
Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanyika leo Jumamosi Desemba 28 mwaka 2019 mjini Mogadishu nchini Somalia.
Maelfu ya wakimbizi wa Somalia walioko katika kambi za wakimbizi za Dadaanb na Kakuma nchini Kenya wanakata shauri na kuamua kurejea nyumbani wakiwa na matumaini ya kupata kazi na Maisha bora . Jason Nyakundi na taarifa zaidi