Skip to main content

Chuja:

Mlima Kilimanjaro

UN SDGs

SDGs zahitaji kuelewa ndipo zitekelezeke:Muzenda

Ikiwa imesalia miaka 11 kuelekea mwaka 2030 ambao ndiyo umepangwa na Umoja wa Mataifa kuwa mwaka ambao malengo ya maendeleo endelevu, SDGs yatakuwa yametimizwa, Umoja wa Mataifa na wadau mbalimbali wameendelea kuhamasisha umma kwanza kuyafahamu malengo yenyewe na pia kuyatekeleza. Miongoni mwa wadau hao ni Munyaradzi Muzenda kutoka Zimbabwe ambaye ni mkurugenzi wa taasisi ya Africa Speaks, yeye anaendesha kampeni ya kukuza uelewa kuhusu SDGs, Arnold Kayanda na maelezo zaidi.

Sauti
2'8"
Wachechemuzi wa malengo endelevu, SDGs yaliyopitishwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa 2015
UN SDGs

Tunakusudia kuyapandisha malengo ya maendeleo endelevu kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro-Munyaradzi Muzenda

Ikiwa imesalia miaka 11 kuelekea mwaka 2030 ambao ndiyo umepangwa na Umoja wa Mataifa kuwa mwaka ambao malengo ya maendeleo endelevu, SDGs yatakuwa yametimizwa, Umoja wa Mataifa na wadau mbalimbali wameendelea kuhamasisha umma kwanza kuyafahamu malengo yenyewe na pia kuyatekeleza. Miongoni mwa wadau hao ni Munyaradzi Muzenda kutoka Zimbabwe ambaye ni mkurugenzi wa taasisi ya Africa Speaks, yeye anaendesha kampeni ya kukuza uelewa kuhusu SDGs, Arnold Kayanda na maelezo zaidi.

Sauti
2'8"