UN-REDD yasaidia mataifa kusimamia vyema misitu
Programu ya Umoja wa Mataifa ya kusaidia nchi wanachama kupunguza utoaji wa hewa chafuzi utokanao na ukataji hovyo misitu imekuwa na mafanikio makubwa kwa sababu imeziwezesha kufuatilia misitu yao ipasavyo.