Sajili
Kabrasha la Sauti
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo ameonya kwamba ripoti mpya ya jopo la kimataifa la Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ni kengele ya kuiamsha Dunia kuchukua hatua zaidi dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi.