Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Miji endelevu

Rachel Ruto, mke wa Rais William Ruto wa Kenya akizungumza katika hafla ya wanawake na wake wengine wa marais katika Mkutano wa UN-HABITAT, Nairobi Kenya.
© IISD/ENB Mike Muzurakis

Kujenga miji inayojali wanawake tunahitaji kuwajenga wanawake kama miji: UN-HABITAT

Siku ya pili ya mkutano wa pili wa Baraza la shirika la Umoja wa Mataifa la  Makazi  duniani UNHABITAT hapo jana ilifunguliwa kwa mkutano wa kwanza kabisa kati ya mke wa Rais wa Kenya, Mheshimiwa Mama Rachel Ruto, na mkurugenzi mtendaji wa UN-Habitat, Maimunah Mohd Sharif, wakijadili kuhusu jukumu muhimu wa wanawake katika kuunda miji endelevu, salama, na yenye mnepo.

World Bank/Yang Aijun

UNESCO yasema miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa

Mtandao wa miji iliyotambuliwa na UNESCO kuwa miji yenye mfumo bora wa elimu, GNLC ni mifano michache ya kufanya ujifunzaji kuwa sehemu ya msingi ya jamii ambazo haziachi nyuma mtu yeyote.  Mtandao huo unaunga mkono harakati za kusongesha malengo yote ya maendeleo endelevu hususani lengo na 4 linalosisitiza elibu bora kwa wote  na la 11 la miji bora endelevu. Miongoni mwa miji hiyo ni Gdynia ulioko nchini Poland.

Sauti
2'33"
Jiji la Tianjin China
World Bank/Yang Aijun

Miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa-UNESCO

Mtandao wa miji iliyotambuliwa na UNESCO kuwa miji yenye mfumo bora wa elimu, GNLC ni mifano michache ya kufanya ujifunzaji kuwa sehemu ya msingi ya jamii ambazo haziachi nyuma mtu yeyote.  Mtandao huo unaunga mkono harakati za kusongesha malengo yote ya maendeleo endelevu hususani lengo na 4 linalosisitiza elibu bora kwa wote  na la 11 la miji bora endelevu. Miongoni mwa miji hiyo ni Gdynia ulioko nchini Poland.

Sauti
2'33"
UN Photo/Manuel Elías

Mipango miji ni hatua ya kwanza katika ujenzi wa miji salama

Lengo namba  9 la malengo ya maendeleo ya endelevu ya Umoja wa Mataifa yanayofikia ukomo 2030, linazungumzia  miundombinu yenye mnepo,  kuwekeza katika  sekta 

ya viwanda endevelu, na kukuza ubunifu. katika sekta hiyo Umoja wa Mataifa unazihimiza serikali na asasi mbalimbali za kiraia kuzingatia ubora wa miundombinu ili  kujenga miji iliyo salama na yenye ustawi bora katika  jamii.

Sauti
4'5"