Kujenga miji inayojali wanawake tunahitaji kuwajenga wanawake kama miji: UN-HABITAT
Siku ya pili ya mkutano wa pili wa Baraza la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi duniani UNHABITAT hapo jana ilifunguliwa kwa mkutano wa kwanza kabisa kati ya mke wa Rais wa Kenya, Mheshimiwa Mama Rachel Ruto, na mkurugenzi mtendaji wa UN-Habitat, Maimunah Mohd Sharif, wakijadili kuhusu jukumu muhimu wa wanawake katika kuunda miji endelevu, salama, na yenye mnepo.
Miji endelevu ni muhimu katika kurejesha maisha bora baada ya COVID-19
Miji itakuwa muhimu kwa ulimwengu kupata nafuu kutoka kwenye janga la COVID-19 na uchumi mbaya zaidi kwa miongo kadhaa, kwa mujibu wa ripoti mpya iliyochapishwa hii leo na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na makazi, UN-Habitat.
UNESCO yasema miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa
Mtandao wa miji iliyotambuliwa na UNESCO kuwa miji yenye mfumo bora wa elimu, GNLC ni mifano michache ya kufanya ujifunzaji kuwa sehemu ya msingi ya jamii ambazo haziachi nyuma mtu yeyote. Mtandao huo unaunga mkono harakati za kusongesha malengo yote ya maendeleo endelevu hususani lengo na 4 linalosisitiza elibu bora kwa wote na la 11 la miji bora endelevu. Miongoni mwa miji hiyo ni Gdynia ulioko nchini Poland.
Miji yenye mfumo bora wa elimu, ni mfano wa kuigwa-UNESCO
Mtandao wa miji iliyotambuliwa na UNESCO kuwa miji yenye mfumo bora wa elimu, GNLC ni mifano michache ya kufanya ujifunzaji kuwa sehemu ya msingi ya jamii ambazo haziachi nyuma mtu yeyote. Mtandao huo unaunga mkono harakati za kusongesha malengo yote ya maendeleo endelevu hususani lengo na 4 linalosisitiza elibu bora kwa wote na la 11 la miji bora endelevu. Miongoni mwa miji hiyo ni Gdynia ulioko nchini Poland.
Uvumbuzi na ubunifu ni muarubaini kuhakikisha miji endelevu-UN-HABITAT
Zaidi ya nusu ya idadi ya watu duniani hivi sasa wanaishi mijini na kufikia mwaka 2050 theluthi mbili ya watu watakuwa wanaishi mjini na makazi ya kuendana na ongezeko la watu bado hayajakarabatiwa na miji mipya itahitaji kujengwa.
Uvumbuzi na ubunifu ni muarubaini kuhakikisha miji endelevu-UN-HABITAT
Zaidi ya nusu ya idadi ya watu duniani hivi sasa wanaishi mijini na kufikia mwaka 2050 theluthi mbili ya watu watakuwa wanaishi mjini na makazi ya kuendana na ongezeko la watu bado hayajakarabatiwa na miji mipya itahitaji kujengwa.
Mipango miji ni hatua ya kwanza katika ujenzi wa miji salama
Lengo namba 9 la malengo ya maendeleo ya endelevu ya Umoja wa Mataifa yanayofikia ukomo 2030, linazungumzia miundombinu yenye mnepo, kuwekeza katika sekta
ya viwanda endevelu, na kukuza ubunifu. katika sekta hiyo Umoja wa Mataifa unazihimiza serikali na asasi mbalimbali za kiraia kuzingatia ubora wa miundombinu ili kujenga miji iliyo salama na yenye ustawi bora katika jamii.
Tunajizatiti kurekebisha hali mji mkuu wa Kenya, Nairobi-Gavana Sonko
Nairobi tumezingatia masuala ya miji endelevu kwa ajili ya maendeleo na bado tunajizatiti kuhakikisha tunachukua hatua ili jiji letu liwe endelevu, amesema Gavana wa mji huo mkuu wa Kenya, Mike Sonko jijini New York, Marekani.