Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Miji

World Bank/Hendri Lombard

Miji rafiki inaweza kusaidiana katika kuchochea ukuaji endelevu wa miji duniani- Katibu Mkuu UN

Leo ni siku ya miji duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka wakazi wa sayari dunia watambue dhima muhimu ya maeneo ya mijini katika kufanikisha malengo ya  maendeleo endelevu, SDGs. Thelma Mwadzaya na taarifa kamili.

Katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 31 mwezi Oktoba kila mwaka, Katibu Mkuu Guterres amesema mwaka ujao wa 2023 inasalia ngwe ya mwisho au nusu ya kufikia ukomo wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs.

Sauti
2'17"
Miji kama mji mkuu wa Korea Kusini Seoul ni watumiaji wakubwa wa nishati
Unsplash/Ethan Brooke

Miji ni chachu ya vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi: Guterres 

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mifano kadhaa ya jinsi miji ambavyo tayari inafanikiwa katika hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi alipozungumza katika mkutano wa Kikundi cha C40 wa kundi la miji mikubwa ya Uongozi dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, kwani katikati ya miji wameathirika zaidi na jangala corona au COVID-29, na viwango vya juu vya vifo na upotevu wa uchumi.  

UN News/ Stella Vuzo

Umuhimu wa miji ni dhahiri-Guterres

Katika kuelekea siku ya miji duniani hapo kesho Oktoba 31, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe maalum wa siku hiyo amesema miji imebeba gharama kubwa ya janga la corona au COVID-19 lakini jamii katika miji hiyo zimedhihirisha thamani yake katika kukabiliana nalo na kuongeza kuwa 

Sauti
2'10"
World Bank/Sambrian Mbaabu

Tuitumie COVID-19 kubadili miji yetu:Guterres

atibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kupitia ujumbe wake wa uzinduzi wa tamko la kisera kuhusu janga la virusi vya corona katika miji, hii leo ametoa wito kwa viongozi kote duniani kufikiria upya na kurekebisha miji katika kipindi hiki ambacho dunia inapona kutokana na janga la COVID-19 kwani miji imeonekana kuwa kitovu cha janga hilo. Loise Wairimu na taarifa zaidi

(Taarifa ya Loise Wairimu)

Bwana Guterres ameeleza kuwa miji ni kitovu cha COVID-19 kwa kuwa asilimia ya wagonjwa wote wa janga hili wamethibitika kuwa wa mijini. 

Sauti
1'43"