Ukomeshaji mifuko ya plastiki Tanzania umetupatia ajira:Charles Samweli
Wakati serikali ya Tanzania inaendelea na utekelezaji wa hatua ya kuachana na matumizi ya mifuko ya plastiki kwa ajili ya kulinda mazingira , hatua hiyo inaleta neema kwa vijana walioamua kujifunza utengenezaji wa mifuko mbadala.