Chuja:

Mhanga

Neno la wiki: Mhanga, Manusura na Muathirika

Katika neno la wiki hii leo tunaangazia maneno "Mhanga", “Manusura” na "Muathirika".  Mchambuzi wetu  ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Ungana naye upate matumizi sahihi ya maneno hayo..