Kuna hatua zimepigwa Maziwa makuu lakini bado kuna kibarua kufikia amani ya kudumu:Xia
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa katika eneo la Maziwa Makuu Huang Xia ameliambia Baraza la Usalama kuhusu umuhimu wa "kulinda mafanikio yaliyopatikana huku wakishughulikia kwa bidii changamoto zinazoendelea" katika eneo hilo.