Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

mazao

Picha: FAO

Panua wigo wa bidhaa ili kufanikisha SDGs- Ripoti

Umoja wa Mataifa umesemanchi zinazoendelea ambazo ni tegemezi kwa bidhaa ni lazima ziwe na mpango wa kupanua wigo wa bidhaa zao ili kuweza kufanikisha ajenda 2030 ya maendeleo endelevu, SDGs.

Mashirika hayo lile la chakula na kilimo, FAO na kamati ya maendeleo ya biashara, UNCTAD wamesema hayo katika ripoti yao ya leo.

Wamesema ni lazima kufanya marekebisho ya kisera kwa kuzingatia kuwa bei za bidhaa za vyakula na vile zisizo za vyakula zitasalia za chini kando mwa bei ya mafuta.