Licha ya watu 1000 kunusurika na Ebola DRC mapambano vita dhidi ya ugonjwa huo vinaendelea:WHO/WFP/UNICEF
Wakati manusura wa 1000 wa ugonjwa Ebola ameruhusiwa kwenda nyumbani leo mashirika ya Umoja wa Mataifa yanafanya kila liwezekanalo kuzuia mlipuko unaoendelea wa ugonjwa huo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.